MALAYA MZOEFU..05
Mtunzi: JONS JONAS
Msimuliaji:CLIFF DAVIS
WhstsApp:0613 321 991
Kabla
sijaanza kukusimulia simulizi hii ya Malaya mzoefu sehemu ya tano, ningependa
kukukumbusha jambo muhimu sana. Tafadhali hakikisha unasubscribe kwenye chaneli
hii Ya Simulizi Extra, ili uwe wa kwanza kupata muendelezo wa simulizi hii pamoja na
simulizi nyingine za kuvutia. Pia, usisahau kulike na kuacha maoni yako; maoni
yako ni muhimu sana katika kutusaidia kuboresha simulizi zetu na kuhakikisha
kuwa zinaendelea kukufurahisha. Kwa kufanya hivyo, utakuwa umetisha kinomanoma!
Sasa bila kupoteza muda, wacha nikupeleke moja kwa moja kwenye
simulizi yetu ya leo, inayomhusu mrembo Tina, ambaye alitumia mwili wake barabara kujifurahisha.
Mimi ni mr.story Cliff Davis, na ni faraja yangu kubwa
kukukaribisha kwenye safari hii ya kusisimua. Twende tukaendelee na simulizi
hii..
::Tuliishia
pale ambapo tina amepewa lift na kaka yake jerry na tayari wapo kwenye gari na
safari ya kuelekea magomeni inaendelea huku utambulisho wao ukiendelea na tina
kashamdanganya kaka yake jeery kuwa yeye ni jirani yao na pale alipo anasafari
ya kuelekea kariakoo….we unafikili nini kinajili twende pamoja……
:: NJia nzima nilikuwa nikimwangalia kwa jicho la kuibia ibia
huku matamanio yangu yakichukuwa nafasi yake, mpaka alipofika magomeni pale
usalama, akapaki gari yake pembeni, “…mie naishi hapo kituo cha mbele ‘magomeni
mwembe chai’ lakini natumai utapanda daladala pale za kwenda kariakoo..”
“..wala usijari, kuna kitu naenda kununua mara moja halafu nakurudi kwangu
‘Ilala’..” Nilimdanganya tena kwa kujiamini, ile hali ya ujasiri nilikuwa nayo
bila hata kuwa na mshipa wa aibu.. “..amh nimesahau kujitambulisha, mie naitwa
Grace ni mfanyakazi mwenzake na Jerry..” “..ahaa, ni vizuri binti, mimi kama
unavyomwona mwanangu hapa pembeni, naitwa Baba Latifah au ukipenda niite
Ustadhi Juma…” “…ok, usijali labda kwa hapa sina ‘business card’ zimeniishia,
labda ungenipa namba yako ya simu na mimi nikupe yangu..” “..ooh, wala usijari
Grace,..Alinipa namba yake ya simu na mimi Niliichukuwa nakumpa namba yangu
huku nikiondoka na uhakika wa hali ya juu mpaka kwenye daladala ziendazo posta
na siyo tena kariakoo kama nilivyokuwa nimemdanganya hapo awali, “..na hivi leo
sijaingia darasani, lakini Aisha atanielekeza walichofundishwa leo..”
Niliendelea kuongea mwenyewe huku nikiwa ndani ya daladala maeneo ya ‘fire’
karibu na kituo cha ‘akiba’ ambapo ndipo ninaposhukia kwenda chuoni kwetu
‘cbe’. Nilipofika tu ‘hostel’ breki ya kwanza ilikuwa nikuvua ile mi nguo ya
baibui kwani ilikuwa imenijazia joto sana, “..shosti kwa mishemishe, hata
hutulii..?” Alikuwa Aisha akiongea na mimi. “..nitulie wapi wakati mjini kuna
mambo mengi! Haya embu niambie mlichofundishwa leo..?” “..leo tumefundishwa
somo moja tu..” “..lipi hilo” “..Entreprenuer..” “..na mwalimu wa ‘Law’
hakuingia..?” “..yule katuambia mpaka wiki ijayo hivyo tujiandae kwa ‘test’
kutoka kwake..” * Usiku wote akili ilikuwa ikimuwaza Baba Latifah, kila muda
nilipotaka kumtumia meseji nilikuwa nasita nakuhisi huenda akaipokea mke wake
nikaharibu kila kitu nakumkosa kabisa, hivyo nikajilalia zangu mpaka asubuhi..
Nilikuwa nakipindi asubuhi hivyo nilitumia masaa mawili nikawa sina tena
kipindi, “..kwa muda huu kama hayupo ofisini sijui..” Niliichukuwa simu yangu
nakumpigia baba Latifah, lakini iliita tu nakukatwa hapo hapo, Woga ulianza
kuchukuwa nafasi yake katika mwili wangu huku akili ikinituma kuwa huenda
ameshajua mchezo wote ninaoufanyaga.. Nikiwa ndani ya dimbwi la mawazo kwa muda
mfupi mara simu yangu ikaita, harakaharaka nikaangalia jina lilikuwa ni baba
Latifah, nikaipokea kwa pozi na tabasamu zito, “..hallow,” “..yeah, nani
Grace?” “..ndio unaongea na Grace..” “..nisamehe binti, nilikuwa naendesha gari
ndio maana niliikata simu yako lakini usijari, nimeshafika na kwasasa nipo hapa
hapa ofisini kwenu..” “..uko wapi baba Latifah..?”
Niko
hapa ‘aiport’ unapofanyia kazi na mdogo wangu Jerry, na nimekuja kufuatilia
pesa zake kwa ajili ya matibabu, wewe uko kwa wapi..?” Nilijihisi mdogo ghafla
kama kidonge cha ‘piriton’ huku nikiamini kwa asilimia zote nitakuwa
nimeshaharibu haswa akiulizia jina la Grace akaambiwa hamna jina hilo nitakuwa
simpati tena. Hapo hapo akili yangu ikachemka ghafla nakupata wazo nakumjibu..
“..nimetoka ofisini na nipo posta kuna bidhaa tumeleta hivyo kwa leo sintoweza
kurudi ofisini mpaka kesho, lakini nahitaji kukuona leo jioni kuna vitu ninavyo
nataka umpelekee mgonjwa ‘Jerry’ mie nimebanwa sana..” “..wala usijari binti,
wewe niambie nikukute wapi..?” “…kwa sababu nitakuwepo posta mpaka jioni sana,
nitakutafuta kwenye mida ya saa kumi na mbili, samahani kwa usumbufu lakini..”
“..kuwa na amani kabisa binti yangu..” Nilimaliza kuongea na simu huku furaha
kubwa nikiwa nayo, nikatafuta nguo ya kuvaa ambayo itaendana na zile za wafanyakazi
wa ‘airport’ Hatimaye nikapata kisketi cha bluu na shati jeupe lililonipana na
nikachukuwa kikoti cha Aisha cha bluu nachenyewe chakubana na kisha nikafunga
funga mtandio wa bluu ndio ikawa kama tai.. Saa kumi na mbili kasoro nilikuwa
nipo ‘Subway’ posta nikiwa nimeifunga kanga yangu ndani ya karatasi la
kuhifadhia zawadi na juu yake nikiandika maneno ‘Get well soon Jerry’ (ugua
pole Jerry) huku nikimsubiri baba Latifah… Nilimpigia simu kujua amefika wapi,
“..hallow, nipo hapa ‘subway’ posta nakusubiri..” “..nami nakaribia nipe dakika
kama kumi..” Sikusubiria sana akawa ameshafika, nilijifanya ninaharaka sana na
nimechoka na mizunguko toka asubuhi nilipotoka na wenzangu kumbe wote uongo..
“…pole sana na kazi, ndio majukumu yalivyo..” “..chukuwa hii ni zawadi kwa
Jerry ataifurahia sana akiifungua na utamwambia kuwa imetoka kwa wafanyakazi
wenzake..” Aliichukuwa, “..ok, kwakuwa umechoka sana wacha nikusogeze mpaka
karibia na kwako, uliniambia unaishi wapi tena..?” “..Ilala boma..” Giza
lilikuwa limeshatanda, tukaingia ndani ya gari lake, Nikamuwahi kabla
hajaliwasha nikamshika mkono, akashangaa..!! “…najua umeoa na una mtoto,
ningependa leo nikucheleweshe kidoogo kurudi kwako..” Baba Latifah alikaa kimya
huku akihema juu, hapo hapo nikavua kikoti changu nakusingizia joto.. Akiwa
bado ananishangaa nikaanza kuvua vishikizo vya shati huku kisketi
nikikipandisha kwa juu nakuachia mapaja wazi… Kigugumizi kiliendelea kumshika
baba Latifah, “..vipi binti..? Mbona sikuelewi..?” “..hunielewi..? Mwenzio
nasikia joto kweli hapa, yaani hili joto la Dar balaa kweli..” Niliendelea
kusingizia joto huku nikitoa tabasamu feki kwa baba Latifah.. “..lakini gari
yangu ina A/c si ungeniambia tu nikuwashie..” “..dah.. Nilijisahau, lakini
nilivyofanya kwani ni vibaya..?” Hakunijibu zaidi yakuliwasha gari, niliuwahi
ufunguo kabla hajaondoka nikalizima kisha nikatoa ufunguo wa gari nakumtolea
macho baba Latifah. “..Samahani kwa kukufanyia hivi ila nakuomba unisaidie kitu
kimoja tu..” “..eh..! kitu gani hicho..?” Nikachukuwa pochi yangu nakuchomoa
shilingi elfu mbili. “..samahani sana, unajua mimi ni mtoto wakike kama walivyo
wengine, na hali hii imenitokea ghafla..” Baba Latifah alionesha kushtuka huku
akihema juu juu. “..sijakuelewa, unamaanisha nini tena..” “..nimeingia katika
mwezi ghafla (na bleed), na sijatembea hata na ‘pedi’ nakuomba ukanichukulie
pale dukani, samahani sana mzee wangu, kwani hapa nilipo nahisi damu zinanimwagika
na nimeshajichafua ” Baba Latifah alinielewa, hakuchukuwa pesa yangu,
alichokifanya alishuka kwenye gari nakuelekea dukani. Ndani ya muda mchache
alikuwa amesharudi huku mkononi mwake akiwa ameshikilia mfuko. Alinipa
nikaufungua nakutoa ‘pedi’ moja kisha.. “..samahani tena..?” “..kwanini..?”
“..siwezi kubadilisha pedi kwani nimechafuka sana, nahitaji nijisafishe kwanza,
pili sijatembea na nguo ya ndani ya akiba..” “..kwa hapo sijui hata
nitakusaidiaje binti..” Baba Latifah akiwa bado anajifikiria huku ananiangalia,
na ukizingatia tulikuwa ndani ya gari lenye vioo vyeusi huku nje giza likiwa
limeshatanda. Niliivua ile nguo yangu ya ndani kisha nikafungua kioo nakuitupa
kwa nje, lakini muda huo.. “…najitahidi kujizuia lakini mie mtoto wakike tena
niliyeumbwa kwa aibu, nisamehe kwa kilichonitokea..” “..hilo tu..! Wala usijari
kabisa..” “..hivi kwa mfano nikawa mke wako wa pili, si utakubali..?” Nilianza
maswali yakumtega baba Latifah kabla hajaliwasha tena gari.. “…ni kweli hata
dini yetu inaruhusu, ila kwa wewe bado mdogo sana, na wala bado sijalifikiria
hilo..” Nilimwangalia kwa jicho la hasira tena ile ya ghafla huku nikiubenua
mdomo wangu.. “..Ananiona mdogo hee, na leo ataniona mkubwa sasa..” Nilijisemea
kimya kimya huku nikiuchukuwa mkono wangu mpaka kifuani mwake nakuanza kumshika
manywele yake ya kifuani bila ruhusa yake, kitendo cha kukaa kimya bila
kuniongelesha chochote kilichochea zaidi hisia zangu nakuusogeza uso wangu
mpaka nikakutana na uso wake, nilimshuhudia baba latifa uzalendo ukimshinda
taratibu akaanza kupapasa maungo yangu “..baba Latifah, mie bado binti mdogo
tena sana, najishangaa nimepatwa na hisia ghafla, najua hii yote inatokana na
hii ‘period’.. Nakuomba uwashe gari unipeleke kwangu Ilala..” baba Latifah
hakunielewa wala kunijibu chochote, nikamwita tena.. “..baba Latifah, naongea
na wewe..?” Bado alinitazama tu, nilichokifanya, nikavua nguo zangu zote
nikabaki kama nilivyozaliwa muda wote huo baba latifa alikuwa akiniangalia tu
huku akihema juu juu kisha nikikaa juu ya mapaja ya baba Latifah.. “..Grace utanichafua
na damu zako binti, kwanza si una ‘bleed’ wewe..?” nilicheka kwa muda kisha
nikazibana nywele zangu vizuri nakumjibu.. “..hapana bwana baba Latifah,
nilifanya vile kujiweka sawa tu, si unajua sisi wasichana tukianza kujihisi
hali kama ile tunatakiwa tuwe na ‘pedi’ karibu..” “..kwa hiyo unamaanisha hau
‘bleed’..?” “..ndio manake, au kama unabisha washa taa aushika uone kama mimi
na ‘bleed’..”Baba latifa kweli akasogeza mkono na kukagua ili hajiakikishie
“..haya umeniamini sasa..?” hakunijibu lolote Zaidi ya kuniangalia tu
::
Tayari baba Latifah alikuwa kwenye himaya yangu huku akiwa si mtu wakujiamini
amini kwa kile nilichomfanyia.. nakuambia hakika tuliweza kufanya mapenzi ndani
ya gari tena kwa uhuru Zaidi ile tuna maliza tu mala tuasikia hodi ikipigwa
kwenye vioo vya gari… Baba Latifah alionesha kushangaa sana, alinisukuma
pembeni kisha akavaa nguo zake haraka haraka nami nikavaa hivyo hivyo japokuwa
tayari nguo yangu ya ndani nilikuwa nimeshaitupa nje kabisa.. Ndani ya muda
mchache Baba Latifah alinitolea macho kisha akabonyeza kidude cha kushusha kioo
ili kumjua ni nani.. “..ahaa hujambo John..” “..sijambo shikamoo kaka..”
Nilikuwa nimeshagundua kuwa alikuwa ni John tena yule niliyempa ukimwi na kwa
muda huu nilibaki ndani ya gari huku Baba Latifah akishuka nakuongea naye..
Nilitega sikio huku nikiwasikiliza kwa mbaali.. “..vipi unafanyaje huku John..”
“..bro nilikuja mara moja na rafiki yangu tunayesoma naye hapo ‘Ifm’ lakini
nimeshaachana naye baada ya kuona gari lako umepaki maeneo haya vipi bro Jerry
anaendeleaje..?” John alizidisha story na Baba Latifah hadi woga ukaniingia
nakuona hapa kama nitaendelea kuwasikiliza hawachelewi kuingia ndani ya gari
tukaondoka wote na nitakuwa nimeshaumbuka. Nilichokifanya niliiacha ile zawadi
ya Jerry kisha nikavishika viatu vyangu
mikononi nakufungua mlango wa pili yake taaaratibu nikinyata huku nikiwaacha
wakiendelea na maongezi.. “..watajuana tu ndo nimeshawaachia, mie ndio Tina
sifi na mmoja na mwaka huu hata nikifa nahakikisha ukoo wao wote unanifuata
kaburini..” Niliendelea kujisemea mwenyewe huku nikikatiza mitaa ya posta nakwenda
mpaka ‘cbe’ kwa mguu kwani hakukuwa mbali. Nikiwa bado nipo njiani huku
nimeshavalia viatu vyangu japokuwa nywele zilikuwa zimenivurugika hilo wala
sikulijari mtoto wakike mie, mara ghafla simu yangu ikaita, nikaitoa kwenye
pochi haraka haraka huku nikiangalia jina. Alikuwa ni John tena John yule
niliyempa ukimwi pale kinondoni kwake, nikaipokea huku nikiongea kwa sauti ya
taaratibu, “…hallow..!” “..hivi we mwanamke? Umeniambukiza ukimwi ukaona
haitoshi na sasa umeamia kwa kaka yangu si ndio..?” “..hiyo ndio salamu, na
huyo kaka yako sikumlazimisa alinifuata mwenyewe hapo unapopaona..” “..embu
ona, ana familia inayomtegemea na hapa alipo ameniambia alikuwa na mdada
hamuoni humu ndani, nilivyomonesha namba yako ya simu akapata presha ya ghafla,
ona sasa unamuua pumbavu zako…” “..wapumbavu ni wewe Jerry na huyo sijui ndo
kaka yenu mkubwa sijui ndo baba Latifah, na tena msubiri kama sijaja kwenye
msiba wenu mtakuja kwenye msiba wangu..” “..unasemaje..?” “..kama
ulivyosikia..” “..nilishakwambia na narudia kukwambia ama zangu ama zako
nikikushika nahakikisha nakishona kwa sindano hicho kinanii chako
unachowaambukiza watu wasio na hatia..” Hasira za ghafla zilinipanda nikaikata
ile simu nakuizima hapo hapo kisha nikaidumbukiza kwenye kipochi changu
nakuendelea na safari yangu yakurudi chuoni.. Nilipofika tu Aisha rafiki yangu
alinipokea kwa fujo zote, “..niambie Tina wangu wa ukwee..! Ehh vipi tena
shosti mbona leo umepooza hivyo..?” “..hamna wala hata sijisikii chochote,
nimeamua tu niwe mpole, kwani hupendi..?” “..hee..? Makubwa, haya ndio ujiandae
hivyo leo tunaenda muziki, tena nipo na shemeji yako ambaye hata humjui..”
Nilibaki namtolea tu Aisha macho akiendelea kuongea kwani yote yalikuwa
yanapitia sikio la huku nakutokea upande wa pili.. “..jamani Tina, si ujiandae
twende wote na hivi leo ‘club bills’ wasichana bure..” “..Aisha..? Tungeenda
ila akili yangu haiko sawa kabisa, ila kama utakubali nipumzike kama nusu saa
ndio twende sawa tutaenda..” Aisha alinielewa, kwa uchovu nakulegea kwa mawazo
yalionitawala kichwani mwangu nililala hivyo hivyo na nguo nilizokuwa nazo bila
hata yakwenda kujisafisha.. Baada ya kama lisaa zima niliamshwa na rafiki yangu
Lucy.. “..jamani bado nina usingizi mbona tunakatishana, haya huyo Aisha yuko
wapi..?” “…yupo nje anaongea na bwana wake, na amenipigia simu nikuamshe
ujiandae kisha tumfuate mpaka alipo huko nje..” Kwa jinsi nilivyonapenda
starehe Tina miimi, haraka haraka niliingia bafuni nakuoga nilipotoka nilivaa
kipensi changu kilichoachia mapaja yote wazi huku juu nikiwa na kiblauzi
kilichoshikilia matiti tu, huku tumbo lote likiwa wazi nikaongozana na Lucy
huku tukitoka nje.. “..haya we Lucy yuko wapi sasa huyo Aisha..? Na kama
ametuachaaa…?” Niliongea kwa hasira baada ya kutoka nje nakuwakuta hawapo.
Nikampigia Aisha simu.. “..hee Aisha mko kwa wapi..?” Simu yake ilipokelewa tu
lakini haongei zaidi ya kusikia sauti za mahaba.. Nilikata nikapiga tena kwa
mara ya pili ikapokelewa.. “..Aisha uko wapi, sie tunarudi kubadilisha nguo
bwana..?” “..angalieni upande wa pili huku kwenye giza giza karibu na ukuta wa
chuo cha ‘Dit’ kwenye kagiza mtaona gari ya bluu imepaki ndio tulipo..”
Nilikata simu nakumchukuwa Lucy mpaka lilipopaki hilo gari. Sikuwa naifahamu
hata kidogo, “..Aisha na yeye wachini chini..?” Nilikuwa naongea na Lucy huku
tukilikaribia hilo gari, ile tunafika tu Aisha akafungua mlango kwa mbwembwe
zote huku akimvuta bwana wake atoke, Nilimwangalia mara moja tu, uso kwa uso na
sura niliyokuwa naifahamu sikuonesha kutetemeka wala kuogopa kwa nilichokiona,
nilijikaza nakuongea kwa kujiamini huku nikisita kumpa mkono.. “..John habari
yako..?”
:: Eeebwana eeeeh we unazani nini kitafuata
baada ya tina kukutana na john ana kwa ana na muda sio mrefu walitoka kuongea kwenye simu
na kila mmoja alipaniki kwa mwenzie je john atamfanya nini tina baada ya
kukutana nae na vipi kuhusu Aisha akigundua kama Tina ametoka kimapenzi na john
na kamuambukiza virusi vya ukimwi…? Fuatana na mimi katika toleo lijalo la
mkasa huu wa kusisimua…
:: usikose kufuatilia kisi hiki mpaka mwisho kwani sio ya kuikosa
kabisa
0 Comments