MALAYA MZOEFU..06
Mtunzi: JONS JONAS

Msimuliaji:CLIFF DAVIS

                                   WhstsApp:0613 321 991


:: Toleo lililopita tuliishia pale ambapo aisha akiwaambia wenzie watoke na kwenda kwenye pati baada ya kila mmoja kujiandaa na mwisho wanamfuata aisha aliekuwa kwenye gari na mpenzi wake wakina tina wanafika na aisha anamshusha mpenzi wake kwenye gari na tina anagundua kuwa mpenzi wa aisha kumbe ni john yule adui yake aliemuambukiza virusi vya ukimwi na tina anaonekana kumsalimia john…unadhani nini kilijili twende pamoja….

 

::“..Salama tu, na tena bora ulivyojileta mwenyewe hapa..” John alibadilika ghafla nakutufanya wote tuendelee kumshangaa kwani aliinama mpaka chini ya kiatu chake akavua soksi nakuitoa ‘bastola’ kisha akaninyooshea.. “…malaya mkubwa wewe tena uliyeniteketeza mie na ndugu zangu bila hata huruma yeyote..” Nilikuwa mdogo ghafla huku kijasho chembamba kilichoambatana na mkojo uliokuwa tayari unapenyeza ndani yakile kipensi changu.. “..John nisamehe..” “..tena ishia hapo hapo malaya wewe. Unasikia Aisha wangu, huyu mwenzako ni muuaji tena yule aliyeshindikana, amemfanyia kitu kibaya sana bro wangu ‘baba Latifah’ kwani amemuambukiza ukimwi kwa makusudi kabisa na hivi ninavyoongea yupo hospitali hoi kwa presha..” “…ingia? Ingia ndani ya gari kabla hata sijakufyatua sasa hivi, wewe Aisha asanteni sana kwa kuniletea huyu mpumbavu na nilishamwambia ama zake ama zangu na ndio sasa..” Muda wote nilikuwa bado nikitetemeka vidole huku meno yakiumana na mwili kunisisimka hadi kuishiwa nguvu.. “..nimekwisha leo Tina mimi..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikikubali kuingia ndani ya gari kisha John akatumia mkono mmoja kuwasha gari na mkono mwingine alikuwa ameniwekea ile bastola yake kichwani mwangu, Aisha na Lucy muda wote walikuwa bado wameduwaa huku wakiwa hawajielewi elewi kwa kile kinachoendelea. John aligeuza gari nakutoka spidi mpaka kusikojulikana. Giza lilitanda sana kwani kama haikuwa saa 5 usiku basi ni saa sita kwani ukimya na uchache wa magari tuliokuwa tunapishana nayo ndio yalikuwa yakinipa jibu sahihi. Ilituchukuwa mwendo mrefu sana mpaka akasimamisha eneo nililokuwa silijui kisha akapaki gari yake pembeni nakuanza kutembea kwa miguu huku tukikatiza vichochoro hata sikuwahi kupita wala kupajua.. “…unanipeleka wapi uku jamani John..” “…we twende, utapajua nikishatoa hiyo roho yako isiyo hata nachembe ya huruma..” Nilianza kuhisi kichwa changu kizito tena kizito kwa kufikiri, nilikuwa na mawazo mgando tena yale yasiyoelewa elewa nitokapo wala niendapo.. Hatimaye tukafika kwenye jumba moja zuri lililokuwa na fensi kubwa ya ukuta iliyozungushiwa zile taa kubwa. John hata akugonga mlango zaidi yakunivuta mpaka ndani huku mlinzi akitutolea macho, nadhani yule mlinzi alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea..”..huyu hapa bro..” Moyo ulinipasuka ghafla baada ya macho yangu kugongana ana kwa ana na baba Latifah huku kashika bomba la sindano.. pale pale John alinivua kile kipensi changu na kile ki blauzi huku nikibakiwa mtupu kama nilivyozaliwa.. “..chagua moja We malaya..” Sauti ya ukali ilitokea kwa baba Latifa ambapo kwa muda huu alikuwa kakunja ‘ndita’ huku ananitolea macho ya hasira.. “..John embu mfunge kwa kumzungushia kamba mwili wote hapo kwenye kiti.. John alipomaliza hapo alichukuwa tambala chafu kisha akanilazimisha liingie mdomoni kwangu na alipotoa tu nilitapika sana huku nikikohoa nakuomba japo nipatie maji lakini walinikatalia.. Baba Latifah alichukuwa sindano tena ya kushonea viatu kisha akachukuwa na uzi wake.. “..Leo tunakuziba hicho kidude chako nanakishona hapa hapa na ole wako ujitingishe..?” Baba Latifah aliendelea kuongea kwa sauti ya juu nakunifanya woga uendelee kunitanda nakuona sasa mwisho wangu wa u play gal na maisha kwa ujumla unaishia hapa. Nilijua utani lakini ilinibidi kuanza kuamini kwani tayari John alikuwa ameisogeza bastola yake karibu na paji langu la uso huku nimezungushiwa kamba ya manira, nilikuwa sipewi nafasi hata ya kuzungumza kwani waliniwekea matambala mdomoni yaliyopunguza kasi ya kuhema.. Baba Latifah alianza kwa kunishona sehemu zangu za siri kama washonavyo mafundi viatu ama cherehani, hakukuwa hata nasindano ya ganzi zaidi yakupata maumivu ambayo sikuwahi kupata maishani mwangu. Damu nyingi zilinimwagika, nguvu ziliniisha na macho yalikosa nguvu kabisa. hatimaye Baba Latifah akafanikiwa kunishona sehemu yangu ya siri yote huku akiziba mpaka eneo la kukojolea Tina mie, John aliponitoa tu lile tambala nilitapika mfululizo nyongo si nyongo kwani ilikuwa imechanganyika na mabonge bonge ya damu.. Nikaanza kuhisi fahamu zinanipotea taratibu huku uwezo wa kufikiri ukipotea nao kabisa, “..najua nitakufa muda si mrefu, nisameheni kwa yote niliyowatenda. Niagieni na kwa wazazi wangu..” Nilijitahidi kutoa sauti lakini ikawa haitoki hivyo kizungu zungu cha ajabu na ghafla kikanitawala nakuanguka mpaka chini… Mwili wangu ulikuwa sugu tena sio sugu kwa maumivu tu bali ulikuwa sugu kwa mateso ya aina yeyote. Lakini kitendo cha kudondoka mpaka chini nakuanza kusikia kizungu zungu huku nikiwaona baba Latifa wawili wawili vivyo hivyo hata kwa John.. Baada ya muda kimya kikatanda, nikiwa bado nipo pale chini huku damu yangu mwenyewe ikitawala kwenye mwili wangu, sauti ilikuwa haitoki, nilijitahidi japo kuinuka kwani zile kamba nilizokuwa nimezungushwa nilikuwa nimeshafunguliwa.. Kitendo cha mimi kuinuka nilishindwa nakujikuta natambaa huku kwa mbaali nikiona ukungu ukungu kwakuwa macho yangu yalikuwa hayana tena nguvu ya kuona mbali ila kwa karibu kidoogo.. Nilitambaa kwa kutumia magoti huku nikitafuta mlango wakutokea, magoti yote yalikuwa yamelowa damu zangu mwenyewe, japo niliteleza nilifanikiwa kufika hadi kwenye mlango uliokuwa umefungwa ambapo nilianza kukishika kitasa nakufungua, “…Ooh, why me, why me Tina..” Mlango ulikuwa umefungwa, nilijaribu kuutikisa nikahisi kama ufunguo umedondoka chini yangu hivyo nikainama nakuanza kuutafuta kwa kupapasa papasa huku nakule huku nikiambulia kushika damu zangu tu.. Nilijaribu japo kuyapikicha macho yangu ili nipate nguvu yakuona mbele lakini ikawa ndio kwanza nimeyaharibu macho yangu kwani zile damu nilizokuwa nimezishika wakati napapasa chini kuutafuta ufunguo zote zilikuwa zimeniingia machoni nakunisababishia muwasho wa ajabu ambao sijawahi kuwasha maishani mwangu, nilipiga kelele lakini sauti yangu ilikuwa bado haitoki, nikashika kitu sijui ndio ilikuwa ni kikombe ama meza ya kioo kwani nilivyokirusha kwa nguvu nilisikia mlio wa kuvunjika kwa kile kitu.. Napo sikupata msaada hata kusema atokee au asikike baba Latifah au John anipige ama kunikaripia lakini haikuwa hivyo zaidi yakuendelea kupata mateso. “..najua nimekukosea sana tena sana, eeh mungu wangu niachanishe na mateso haya yaliyonipata..” Nilijikuta nimeokoka ghafla nakuanza kumuomba Mungu anisamehe.. Nikiwa bado nipo pale chini bila kupata msaada wowote na nimeshakata tamaa, mara nikahisi nimekalia kitu kama kichuma chuma, nilianza kuogopa huku nikikishia nakudhania huenda ni kati ya kile nilichorusha kikapasuka chini lakini haikuwa hivyo kwani nilikishika vizuri kile kitu nakusogeza vizuri mpaka machoni kwangu.. Nilisisimka mwili ghafla baada yakugundua kuwa ule ulikuwa ni ufunguo hivyo nikaaninuka nakuanza kuupenyeza taratibu kwenye tundu la mlango nakuanza kuufungua bila ya mafanikio yeyote.. “..Eeh Mungu saidia, saidia..” Hatimaye mlango ukafunguka lakini nguvu za kusimama zikaniisha tena hivyo nikaanza kutambaa nikitoka mpaka nje kabisa.

:: Giza bado lilikuwa limetanda sana hilo sikulihofia kwani lengo langu nikutoka nje kabisa na hili eneo la ukatili na mauaji.. Maumivu makali nilianza kuyasikia nilipofika nje kabisa, ule ubaridi wa nje ndio ulioamsha maumivu makali kwenye sehemu zangu za siri.. “..unakwenda wapi..?” Ilikuwa ni sauti ngeni kabisa masikioni mwangu lakini kwa hisia nikajua tu atakuwa yule mlinzi tuliyempita wakati John ananivua kuingia ndani.. “…naomba msaada wako tafadhali embu nionee huruma na nilichofanyiwa, ni unyama, unyama kabisa..” Nilimjibu lakini sauti yangu ikawa bado haitoki hivyo yule mtu alinifuata nakunibeba kisha nikahisi kama ananirudisha tena ndani… “..nitoe nje tafadhali sasa huko unanipeleka kufanya nini..?” Nilijitahidi tena kuongea lakini bado Tina mie kutoka sauti haikuwezekana kabisa. Yule mtu hakunijibu chochote zaidi yakunitupia kwenye chumba nisichokifahamu kisha nikasikia sauti ya maji maji yakimwagika hivyo kwa hisia tena nikajua ni lazima patakuwa ni chooni ama bafuni.. Nilihisi kama anakojoa kisha akanishika kichwa changu nakunidumbukizia kwenye tundu la choo naku ‘flash’ hapohapo.. Aliponitoa kichwa changu sikuweza tena kuona mbele masikio yote yakawa yameziba, Kizungu zungu kikanitawala hapo hapo nakupoteza fahamu hapo hapo… Nilishtuka nakushangaa mwili wangu wote umelowa maji hivyo akili yangu ikafanya kazi nakujua kumbe yule mtu aliyenileta huku bafuni ndiye aliyenimwagia maji pale nilipohisi kizungu zungu nakuanguka mpaka chini..”…amka hukoo..? Amkaa husikii..?”yule mtu bado aliendelea kunifokea nakujikuta nikiamka kwa kupepesuka, lakini ile nainuka tu nguvu zikaniishia nakujikuta nandondoka tena mpaka chini kabisa..Niliinuliwa na yule mtu kwa nguvu huku akinishambulia kwa vibao pamoja na mangumi mwili wangu wote, nakilichofuata alinivuta nywele zangu mpaka mlango wakutokea, sikuwa na sauti kwani ilishanikauka, mwili wangu sasa ulikuwa kama uliyepigwa ganzi kutokana na maumivu kupitiliza.Yule mtu aliendelea kuniburuza mpaka getini huku nikiwa uchi tena mtupu kama nilivyozaliwa, aliacha kunivuta kwa kutumia nywele zangu na safari hii alikuwa kayashikilia matiti yangu yote mawili huku akiyaminya nakuyavuta kwa nguvu zake zote mpaka nje ya geti..Masikio yangu yakawa kama yananasa sauti za watu huku macho yangu yaliyojawa na ukungu wa maji uliochanganyika na zile damu zangu yakikosa nguvu yakujua ni wakina nani ninaowasikia, nikajaribu kupiga kelele kama sauti itatoka..”..nisaidieni jamani, niokoeni nakufa mie..”Nikahisi kama sauti imetoka tena kwa nguvu mpaka mwili ukanisisimka, haraka haraka nikapikicha macho yangu yakapata uwezo wakuona mbele,”..Ahsante sana Mwenyezi Mungu kwa kunionesha tena duniani..”Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiuangalia ule umati wa watu uliokuwa umetanda na kunishangaa nikiwa uchi wa mnyama.Niliinuka pale chini nakurudi mpaka ndani ambapo breki yakwanza ilikuwa kwenye kinyumba cha mlinzi napo sikumkuta, nikachukua bunduki lake na panga kisha nikaingia mpaka ndani kwa hasira, nilipofika sebuleni nilizikuta zile damu zangu zimetapakaa mpaka kwenye masofa, nikaingia vyumbani chumba kimoja kimoja nikifungua bila kumuona mtu yeyote mpaka nikafikia chumba kilichokuwa kimelokiwa,nikatumia lile gobole kuvunja, ile namalizia tu nageuka nyuma namuona Jerry akiwa na John pamoja na baba Latifah wakinifuata huku wakicheka.Kwa hasira niliyokuwa nayo nikachukuwa lile bunduki nakuwaelekezea huku nikitaka kuwafyatua mara..*”…Aaah.., aah.., wanabahati kweli..?, uuhf..! Uuuf..! Uuuf..!”Niliropoka kwa sauti ya juu na ya ukali huku nikikodoa macho huku nakule kwa mshangao ulioambatana nakuhema juu juu mpaka jasho likanitoka huku nikiwa kitandani nisiamini kilichotokea kama ni ndoto..Haraka haraka niliwasha taa nakuangaza chumba chote kulikuwa kimya hivyo nikaamini nilikuwa naota. Na wakina Aisha watakuwa waliniacha wameenda ‘club bills’..Nilianza kupata kumbukumbu sawa nakukumbuka mara ya mwisho nilimwambia Aisha aniache nipumzike kidogo halafu ndio twende nao huko ‘club’ nadhani hawakuniamsha hivyo nikapitiwa na usingizi nakuanza kuota ndoto za ajabu ajabu eti nimeteswa na baba Latifah wakisaidiana na John pamoja na mtu nisiyemfahamu, mpaka wakanishona sehemu zangu za siri..Bado nilikuwa sijiamini na ile ndoto niliyokuwa naota, mwili wangu wote ulikuwa unanitetemeka, nikajifunua nguo yangu ya ndani nakuhakikisha sehemu zangu za siri zipo salama..Nilibaki natikisa kichwa cha dharau huku nikishika shika vizuri sehemu zangu za siri, kwani zilikuwa nzima kabisaa..”…eti Tina mie wanishone..? Mbona wangejuuuta kunijua..?”nilijisemea mwenyewe huku nikiinuka nakuelekea bafuni kuoga.Ndani ya muda mchache nilikuwa nimesharudi nakujifuta tayari kwa kulala tena.Usingizi kwangu ulikuwa wa shida sana hivyo nilishindwa kulala mpaka alfajiri waliporudi wakina Aisha na Lucy ambapo napo ilikuwa ni makelele mtindo mmoja mpaka kunakucha..Asubuhi ilipofika nilijikuta mtu wa mawazo mawazo haswa kwa kile kitendo nilichowaambukiza ukimwi kwa makusudi John na baba Latifah, nafsi yangu ilinisuta nakujikuta nanyanyua simu yangu tayari kwa kuwapigia ili nikawaombe msamaha kwa nilichowafanyia nakuwaelezea huo ukimwi nilipoupatia..Nilianza kwa kupiga namba ya John napo ikawa inaita tu lakini haipokelewi nikaikata nakupiga namba ya baba Latifah,”…Hallow.. Kwanza nianze na samahani Mzee wangu..”Nilijivika moyo wa kijasiri huku nikiwa pembeni ya ukuta wa chuoni huku nikiongea kwa kujiamini..”..enhee ulikuwa unasemaje binti..?””..najua nimekukosea tena sana na haukustahili kupewa adhabu hiyo uliyonayo, nakuomba unisamehe mzee wangu..” “…Nakusikiliza vizuri, unamuona huyo Mama anakuja nyuma yako..?”Sikuamini amini nikageuka nyuma huku nikitetemeka nakumjibu..”..ndio nimemuona Latifah akiwa na Mmama..””..huyo ndiye mke wangu na hapo yupo na Latifah pamoja na Polisi mie nawasubiri, nadhani umeshajua nini kinachofuata…?Nikaikata ile simu nakugeuka tena nyuma kwa mara ya pili kuhakikisha.Maskini Tina mie nilikuwa tayari kama mtu aliyechanganyikiwa kwani ile simu niliyokuwa nimeipiga hakuwa baba Latifah bali alikuwa ni ‘classmate’ wangu na wale niliowaona walikuwa ni wapita njia tu tena mtu na mtoto wake.Ile hali ya kuchanganyikiwa bado iliendelea kunitawala ndani ya ubongo wangu, niliizima kabisa simu yangu nakuelekea ‘intarnate cafe’.kama kawaida yangu nilifungua moja kwa moja mtandao wa kijamii ‘facebook’ nakuanza kuchati na marafiki zangu ikiwa ni pamoja nakupokea marafiki wapya.Nilipomaliza tu nikaingia moja kwa moja kwenye group la Simulizi extra kwani stori zake huwa nazipenda sana haswa ile ya play boy yani hadi natamani ningepata kukutana na huyo Jeff ryder mbona angejuta kwa Tina mie..

:: Ilinichukuwa kama nusu saa nikawa nimesharidhika kwa ile story ya play boy, nikaanza kufuatilia zile comment mpaka nikakutana na jina la ‘Biggy'”..mh siku nyingi sijakutana na mabonge embu wacha nimchokoze..?”Nilijisemea peke yangu huku nikilikagua profile lake, niliangalia picha zake zikaanza kunivutia taratibu.”..mh hapa kaisha, na lazima afuatane na wenzake kina baba Latifah na Jerry..”Nilijesemea kimoyo moyo huku nikifurahia kuipata namba yake ya simu ambapo alikuwa ameiweka kwenye mtandao huu wa facebook.Bila kupoteza muda Tina mie nikaichukua ile namba kisha nikatoka pale intarnate huku nikitafuta sehemu nzuri iliyotulia nakuanza kumpigia..”..hallow..?””..yap mambo vipi? samahani naongea na nani?..””..mh, biggy mara hii umeshanisahau?”Nilimtega makusudi kwani wanaume huwa hawanibabaishi hata kidogo..”..Sauti kama ya Gizzle hivi..?””..yeah, lakini siyo Gizzle unayemjua wewe..?””..haya ndio uniambie sasa naongea na Gizzle yupi..?”Nilisita kidogo halafu nikafikiria jina lolote la mbele kisha nikamjibu..”..unaongea na Gizzle precious beiby wa tabata..””..enh bado sijakupata vizuri, ‘anyway’ niambie mambo vipi lakini..””..am mh mh mie nilitaka tu kukusalimia coz ni rafiki yangu kwenye facebook..”Nikamtia simu makusudi ili tu nimpime nione kama atanipigia.Nikiwa bado nimezubaa peke yangu mara simu yangu ikaita kuiangalia ni huyo huyo Biggy..”..mh wanaume bwana,?”Nilijichekea kimoyo moyo huku nikiipokea ile simu nakumlegezea sauti kabisaa.”..yeaah ni a a ambie Biggy..?””..dah poa tu, ujue nini?””..yeah nini?”Biggy akakaa kimya kwa muda na hapo ndipo ukawa mwanya wangu kwani zile ndoto za jana usiku zimenifanya nisiendelee kuambukiza ukoo wa kina baba Latifah..”..Biggy nikuulize kitu?””..uliza tu wala usihofu..”Nilikaa kimya kidogo kisha,”..unapenda kwenda ‘club’?””..yeah kwanini nisipende wakati mwili unaniruhusu..?”Nilimtega makusudi,”…aah, tumrudie Mwenyez Mungu, nakuomba leo jioni tukutane kwenye ibada pale magomeni mwembe chai..”Biggy aliguna kisha akahaidi kutokea muda utakapofika.Nilirudi zangu mpaka hosteli kwetu pale Cbe huku nikiwa na furaha ya ajabu na nikiomba jioni ifike haraka ili niwe na Biggy.Ilipofika tu saa tisa na nusu Tina mie nikawa nimeshaoga na nimevalia gauni refu mpaka chini huku mkononi nikishikilia biblia niliyoazima kwa rafiki yangu Rose.Ndani ya lisaa tayari nilikuwa ndani ya Magomeni mwembe chai pale kituoni huku nikimtumia meseji Biggy kumtaarifu kuwa namsubiria..Haikuchukuwa muda akawa tayari amefika, sura yake haikunipotea kwani tayari niliinasa katikaa picha zake alizokuwa ameziweka facebook.Alikuwa amevalia mavazi ya kikanisani kweli.”..angejua naenda kumpa ukimwi leo..?”Niliusemea moyo huku nikimtolea jicho la kiheshima kana kwamba ni binti mlokole kweli.”..Biggy kanisa liko mbali kidogo, utanisamehe..”Nilimdanganya huku nikiingia kwenye gari ya Biggy tena ki ‘Starlet’ kilichokuwa na vioo vyeusi,”..haya niambie tunaelekea njia ipi?”Aliniuliza Biggy.”..pita njia hii, ukifika kwa mbele kuna kona ntakuelekeza tena..”Nilimdanganga huku akili yangu yote nikiielekeza ni jinsi gani nitamteka aweze kufanya mapenzi na mie..”..Biggy lakini hujaniambia kama umeoa, mie nilijua utakuja na mkeo..?””..dah bado hata sijaoa lakini ndani ya miezi hii mitatu ntakuwa nimeshaoa..”Hapo hapo ndo ukawa mwanya kwangu.kwa bahati nzuri nilikuwa napafahamu kanisa ambalo huwa kuna maombi mara kwa mara. “…kunja kwa hapa kushoto kwa mbele kidogo tutaliona kanisa la KKKT hapo hapo..” Nilimwelekeza kwa kujiamini kanakwamba kila siku huwa nakuja hapa kusali. ndani ya muda mchache tayari tulikuwa ndani ya kanisa, waimba kwaya wachache walikuwa wamejipanga kwa vikundi vikundi, tukapitiliza na kwenda kukaa mbele kabisa huku tukisubiri ibada. “..ukisikia kuumbuka Tina mie ndio leo..?” Nilijisemea peke yangu baada ya kukaa zaidi ya nusu saa bila kuonekana dalili zozote za ibada zaidi ya wanakwaya ambapo walikuwa wanafanya mazoezi kisha wakatawanyika. Nilianza kumchokoza Biggy pale pale kanisani. “..Biggy nikwambie kitu.?” “..enhe niambie tu..” Nikakaa kimya kwa muda huku nikiona kaaibu fulani kisha nikamwambia.. “..samahani sana kwa kukusumbua leo kupoteza muda wako mpaka sasa, itakuwa jana nilipokuja hapa kwenye maombezi nilimsikia vibaya mchungaji hivyo nikajua na leo atakuwepo kama kawaida..” “..Hilo tu wala usihofu mpendwa katika bwana..” “..ameni..” Niliitikia kwa kujiamini huku tukitoka pale kanisani nakuelekea nje mpaka alikopaki gari yake.. “..haya embu niambie unakaa wapi nikusogeze..” Nilimwangalia kwa jicho la uchokozi kisha nikamjibu kwa kumtega, “..Biggy mie nakushukuru kwa kuja, kuhusu kuondoka usihofu nitamsubiri mume wangu atanipitia akitoka ofisini..” “..kwani wewe Gizzle unakaa wapi?” “..am mh mh naishi mabibo” “..Sasa mie naishi Sinza twende nikuache pale njia panda ya kwenda huko Mabibo..” Niliitikia kwa shingo upande huku nikiingia ndani ya gari la Biggy. Giza lilikuwa limeshaanza kutanda, kafoleni kapale Manzese kalinifanya nijifanye nimechoka sana kwani hata na biblia niliiweka kwa mbele karibu nakioo, akilini mwangu nilikuwa najua nini nafanya kwani giza lilipofunika tu nilijifanya usingizi umenipitia haswa tena nakoroma utadhani nimetoka safari ya mbali sana kumbe magomeni mpaka manzese tu. “..Gizzle, Gizzle haya tumeshafika njia panda, wacha mie nielekee kwangu..” Aliniamsha Biggy nakunitaka nishuke, ndio kwanza mwili wote ukanilegea zaidi. “..mhh Biggy, najishangaa sijui ni homa? kwani mwili unanitetemeka sana embu ona..” Nikauchukuwa mkono wake nakuugusanisha kwenye shingo yangu kisha nikauamisha nakuupeleka mpaka kwenye matiti yangu nakuumalizia mapajani mwangu. “..Nisamehe sana Biggy kwani naumwa, naumwa kweli..?”

:: Biggy akawa hajiamini amini huku ananitolea jicho la uoga. “..ok, mpigie mumeo simu basi aje kukupitia hapa..” “..hapana Biggy, niliogopa kukwambia ukweli, mie sijaolewa bado..” Wanaume kama hawa wala hawanisumbui Tina mie, pale pale nikauvua ulokole kwa muda.. “..Biggy, nakuomba nikwambie siri kubwa ambayo iko moyoni mwangu..” Biggy tayari alikuwa msikivu huku akinitolea macho nikatumia mwanya huo huo kumdanganya, “…pliz pliz Biggy nakuomba story hii usije mwambia hata Jons jonas ataniandika kwenye mastory yake na cliff davis atawsimulia watu kwenye account yao ya yotube ya simulizi extra ..” Biggy alicheka kidogo kisha. “..ondoa hofu kabisa Gizzle..” Sikuwa na story yeyote zaidi ya kumpotezea muda wake pale.. “..nakuomba uniruhusu nikakusimulie huko huko kwako kisha utanirudisha mpaka mabibo au?” Muda wote naongea naye Biggy alikuwa anaonekana hajiamini kabisa. Aliwasha gari yake na safari ya kuelekea huko Sinza anapoishi ikaanza. Ilituchukuwa kama nusu saa kutoka pale njia panda ya mabibo na tulipofika tu, cha kwanza nilishuka huku nikiiacha ile biblia kwenye gari la Biggy. “..unaishi peke yako kweli..? nisije nikapigwa binti wa watu wakilokole mie..” Nilijisemea kiutani huku Biggy akitoa funguo mfukoni nakuanza kufungua mlango wa chumbani kwake kwani alikuwa na chumba kimoja na sebule tu tena nadhani ilikuwa ni nyumba ya kupanga ile.. “..Mh Biggy unajipenda? ubarikiwe na bwana..” Bado nilimpa vijimaneno vya uchokozi na tulipoingia tu ndani, “..Biggy samahani, lete mikono yako mara moja..” Alishangaa kisha akanipa mikono yake, nikaishikilia nakumuamuru tufumbe macho tuombe.. “..Bwana Mungu, mkuu uliye mbinguni, nasema ahsante Baba kwa kunileta katika nyumba hii, Baba weza kumbariki kijana huyu niliyenaye katika mambo yake ya ofisini hata na nyumbani, najua hakuna lishindikanalo mbele zako Baba.., Nikiwa katika maombi ya uongo na kweli pale mara mlango ukafungulia nakuingia msichana huku akionekana mwenye hasira kali… Sikutaka kujifanya nimeshtuka, pale pale nikaendeleza maombi. “..tazama Baba wa mbinguni, nimekuja humu ndani kuweka baraka, kwa jina la Yesu mbariki Biggy na wapangaji wake wote.. nasema ahsante Baba..” “..Ameni..!!” Wakaitikia wote Biggy na yule msichana aliyeingia mule ndani kwa pamoja. “..karibu..” Biggy alimkaribisha yule mdada, huku akimtolea macho. “..ahsanteni, za hapa lakini..?” “..salama tu, Gizzle..? huyu dada unayemuona hapa ni mpangaji mwenzangu na yeye pia ameokoka nadhani maombi yetu yamemtia nguvu nakujongea mpaka hapa..” “..ahsante kwa kumjua, Bwana wetu asifiwe..” “..Ameni..” Aliitikia yule mdada huku akitoa kijikaratasi nakumkabidhi Biggy nakudai kuwa ni bili ya maji imeletwa kwani wapangaji wako wawili tu katika ile nyumba. Alimpa kile kijikaratasi nakuondoka huku akituacha mie na Biggy wangu peke yetu. “..Gizzle sijui unatumia kinywaji gani..?” “..Maji ya kunywa tu yatanitosha..” “..hapana, mie naenda kukununulia Juici..” “..mh haya bwana kama umependa hivyo..” Biggy alifungua mlango nakutoka nje kabisa kwenda kuninunulia juici huku akiniacha peke yangu pale kwenye sebule yake.. “..nadhani sasa ndio atanielewa vizuri nimeokokaje, ngoja arudi, mbona atajuta na Tina zoa zoa mie..” Nilijisemea kwa sauti ya kimya kimya huku nikifungua kijipochi changu nakutoa wanja kisha nikafunua nguo yangu hadi maeneo ya tumboni nikajichora mstari kidogo. Ndani ya muda mchache Biggy tayari alikuwa ameshaingia huku mkono wake mmoja akiwa ameshikilia juici ya boksi. Alipofika tu alifungua kabati lake nakutoa glasi mbili kisha akafungua juisi nakuimimina. “..haya mpendwa katika Bwana karibu juisi..” Haya tufumbe macho Biggy tuiombee. “..Eeh Mwenyezi Mungu muumba wa vyote, karibu tujumuike wote katika juisi hii, ibariki..” “..Ameni..” Tayari kwa asilimia zote nilikuwa tayari nimeshamteka Biggy huku akiamini kabisa kuwa mie ni mlokole.. “..yaani hapa leo simwachi..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikichukua glasi nakuanza kuinywa ile juisi.. “..haya Gizzle uliniambia kuna kitu unataka kuniambia, ndio uniambie sasa..” “..haa Biggy nawe? husahau..?” Nilimwambia kiuchokozi huku nikijifanya nina aibu kweli.. “..hapana Biggy roho inanisuta, najiona mzito sana kukwambia jambo hili..” “..wee kuwa na imani tu ya Bwana, hata katika maandiko huwa yanasema, roho ya kusita ni ya kishetani, usiiruhusu hapa siku moja ikutawale katika maisha yako, haya niambie tu Gizzle niko tayari kukusaidia..” Maneno yale aliyoongea Biggy yaliniogopesha nakuona huenda Biggy akawa mlokole kweli japo mie namzuga tu. “..Biggy..?” “..enh niambie..?” “..kama nilivyokuambia, nisingependa hadithi hii ya maisha yangu ukamwambia Jons Jonas, ataniandika kwenye mastory yake yule, na nitaonekanika sina thamani tena katika hii dunia..” “..Gizzle..?” “..abee” “..embu nakuomba uniamini nakunielewa, ni leo tu tumejuana lakini niamini, hutakuja kusikia popote pale, kwanza mie nimelelewa kwenye maadili ya kidini toka nikiwa mtoto na mpaka sasa nimeokoka..” “..Bwana Yesu asifiwe sana Biggy..” “..Ameni..” “..kama unavyoniona Biggy, kwanza toka nimezaliwa sijawahi kumjua mwanaume Gizzle mimi. Baba yetu alitulelea katika mazingira yakumjua Mungu mpaka hivi sasa.., umri wangu wakuolewa umefika sasa, na siku zote nilikuwa namuomba Mwenyezi Mungu anioneshee njia nimpate mume bora mchapakazi na mcha Mungu, nimeangaika sana hadi kwa waganga, nikaona njia sahihi nikumrudia tena Bwana nakumuomba, ndipo nilipokutana na wewe..” Muda wote huo Biggy alikuwa anatetemeka tu huku kijasho chembamba kikimtelezesha kupitia shati lake la mikono mirefu alilokuwa amelivaa. “..Biggy mie ni msichana kama wasichana wengine na nimekamilika na bikra yangu kabisa, nahaki kuwa na mwanaume kama wasichana wenzangu wengine waliookoka katika huu utukufu wa Bwana..” Pale pale nikatoa mchozi wa uongo huku nikijifanya kuchanganyikiwa. Biggy alitoa kitambaa mfukoni mwake nakuanza kunifuta yale machozi yaliokuwa yakinidondoka.. “..Biggy, naamini wewe ni mwanaume niliooneshwa na Mwenyezi Mungu..” Biggy alikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa fulani huku mikono yake ikimtetemeka. “..Gizzle nimekuelewa, ila najisikia na mimi uchungu kwani tayari nimeshamchumbia binti mmoja yupo Tanga anaitwa Mwajabu na ndio maana nilikwambia kuwa ndani ya miezi mitatu nitakuwa nimeshaoa..” “..Lini nitakuwa na bahati Gizzle mie, we ni mwanaume wa tatu kuniambia hivyo, ni bora tu nisiwepo duniani bora, bora..

:: Nilibadilika sura kabisa huku nikijifanisha kwikwi imenishika kwa sababu yakulia, pale pale nikajifanya nimepoteza fahamu. “..Gizzle..?Gizzle..?” Biggy aliniita lakini nikajifanya sisikii lolote zaidi yakulegeza viungo vyangu vyote vya mwili. Biggz alininyanyua nakunipeleka mpaka chumbani kwake nakunilaza kisha akatoka nakurudi na feni akaiwasha inipepee pale kitandani. Ndani ya dakika kama kumi nzima nilijifanya bado fahamu hazijanirudia, muda wote nilichomoza jicho langu kwa mbaali nakumuona Biggy akiwa pembeni yangu amekaa na nguo zake zile zile za ofisini. Alifungua Biblia nakuanza kuniombea huku mkono wake akiuweka kichwani mwangu. Nilijipindua upande wa pili ili kumshtua Biggy nakujifanya nimeamka. “..Gizzle..? Gizzle.” “..mhh, abee..!” Niliitikia kwa kujinyoosha, huku nikifumbua macho yangu taaratibu nakumfanya Biggy aoneshe uso wa furaha kwa kuzinduka kwangu. “..pole Gizzle, enh unajisikiaje na hali..?” “..kichwa kinaniuma sana, pia nasikia kizungu zungu sana..” “..najua sasa hivi utakuwa unatafutwa sana nyumbani kwenu, nakuomba nikurudishe..” “..hapana Biggy nyumbani hakuna shida, wacha nilale tu hata kama ni sebuleni..” Biggy hakuafiki kabisa swala la mie kulala kwani alidhani huenda nikazimia tena wakati mie nilimzuga tu.. “..Biggy..? Biggy..?” “.enh unasemaje..?” “..Nimeanza kusikia maumivu ya ajabu tumboni mwangu na sijui ni nini..?” Nilivua gauni langu kwa makusudi mpaka tumbo lote likabaki wazi na mapaja yote yakionekana bila kuonesha woga wowote ule. “..Biggy embu niangalie maeneo ya kitovuni kushuka chini.. umeona nini?” “..kuna mstari mkubwa tu kama ile ya wajawazito. kwani we ni mjamzito..?” “..we we ninavyoogopa, tangu lini bikra akawa mjamzito..? huu mstari ukiwa mkubwa zaidi halafu huna mimba ujue we ni bikra..” “..anhaa kuumbe..” “..Biggy sogeza sikio lako nikwambie kitu..” Hapo hapo sikutaka kupoteza nafasi, alipoleta tu sikio lake, nikamwingizia ulimi kwenye sikio lake nakuanza kulichezea huku Biggy akilegea nakutojiamini kama nimeshamwingiza mtegoni.. Niliutoa ulimi masikioni mwake nakuuamishia mdomoni mwake, Biggy alikuwa mshamba wa mapenzi kwani alikuwa hajielewi kabisa. Nilianza kumvua vifungo vya shati lake taratibu huku mkono wangu ukipapasa kifua chake, nilimvua nguo zake zote kisha namimi nikivua nguo yangu ya ndani tukafanya mapenzi huku biggy akiamini kuwa amenitoa bikra hakika nikafurahia haswaa.. Tukiwa bado katika mapenzi mazito, mara simu ya Biggy ikaita huko sebuleni.. Haraka haraka tukayakatisha mapenzi yetu kisha Biggy akaenda kuipokea huku mie nikimfuata kwa nyuma nakumsikiliza anavyoongea na simu, Aliongea mara moja tu akaikata kisha akanifuata huku akionesha kuchanganyikiwa, “..Biggy vipi mbona umekuwa hivyo ghafla..” “..matatizo Gizzle, tumefiwa..” “..poleni sana, kwani nani aliyefariki..?” “..kafariki mjomba wangu kabisa anaitwa Baba Latifah.. anaishi magomeni, ngoja nimpigie mdogo wangu Jerry nimwambie…..!

:: We unadhani nini kitafuata baada ya tina kusikia kuwa biggy amefiwa na mtu aliekufa ni mjomba wake anaitwa baba ratifa na hapo alipo anataka ampigie simu jerry ili ampe hizi taarifa we unafikili tina atafanya nini baada ya kugundua kuwa Biggy ni ndugu yake na jerry ingawa alishasema kuwa kwa sasa hataki kuendelea kuambukiza ukimwi kwenye familia ya jerry….?

::usikose kufuatilia kisi hiki cha kusisimua mpaka mwisho kwani sio ya kuikosa kabisa