MALAYA MZOEFU..04
Mtunzi: JONS JONAS

Msimuliaji:CLIFF DAVIS

WhstsApp:0613 321 991


Kabla sijaanza kukusimulia simulizi hii ya Malaya mzoefu sehemu ya nne, ningependa kukukumbusha jambo muhimu sana. Tafadhali hakikisha unasubscribe kwenye chaneli hii Ya Simulizi Extra, ili uwe wa kwanza kupata muendelezo wa simulizi hii pamoja na simulizi nyingine za kuvutia. Pia, usisahau kulike na kuacha maoni yako; maoni yako ni muhimu sana katika kutusaidia kuboresha simulizi zetu na kuhakikisha kuwa zinaendelea kukufurahisha. Kwa kufanya hivyo, utakuwa umetisha kinomanoma!

Sasa bila kupoteza muda, wacha nikupeleke moja kwa moja kwenye simulizi yetu ya leo, inayomhusu mrembo Tina, ambaye alitumia mwili wake  barabara kujifurahisha.

Mimi ni mr.story Cliff Davis, na ni faraja yangu kubwa kukukaribisha kwenye safari hii ya kusisimua. Twende tukaendelee na simulizi hii..

 

:: Tuliishia pale ambapo Tina na john wakiwa ndani ya gari wakielekea kinondoni nyumbani kwa john wakiwa njiani mala simu ya jonh ikaita na akamuambia tina aipokee na kuweka loudspeaker tunakumbuka pia aliepiga simu ile alikuwa ni mpenzi wa jonh na alimuambia kuwa yupo nyumbani kwake anamsubiri we nini kinajiri twene pamoja……

:: Hasira kali zilikuwa zimenishika ukichanganyia na wivu niliokuwa nao wa ghafla, na hivi tena simu nilikuwa nimeishikilia mwenyewe huku nimemuwekea ‘laudi spika’ John aongee, nilijikuta naikata ile simu nakumkunjia sura John huku mdomo na sura yangu nikivikunja.. “..John, embu niweke wazi..! Huyo uliokuwa unaongea naye kwenye simu ni nani..?” “..mh mh huyo ni dada yangu, mtoto wa Mama yangu mkubwa, anaitwa Jescar..” “..aaah Jescar enh, eti mtoto wa Mama mkubwa..? Kwahiyo nyie huko Pemba mtoto wa Mama mkubwa anaweza kuwa mpenzi wako si ndio..?” “..kwani ameniita mpenzi..?”

“..yaani mara hii unageuka nakujifanya hujui kitu kabisaaa..” “…wee elewa hivyo tu na uamini, kama angekuwa ni mchumba wangu si ningeshakwambia..?” John alianza kukasirika huku akiongea kwa sauti mule ndani ya gari nakunifanya niwe mpole kama sijui kitu.. Ndani ya nusu saa tulikuwa tumeshafika kinondoni mkwajuni na John alikuwa mtu wa kwanza kushuka huku akienda upande wa pili wa mlango nakunifungulia kama vile mtoto wa malkia.. Ilitubidi tupaki gari mbali kidogo na kwake kwani msongamano wa nyumba ulivyokuwa umekaa bila kupangiliwa ulitufanya tutembee kidogo mpaka kwenye chumba chake, Kulikuwa ni uswahilini haswa japokuwa tulipoingia tu ndani nilisahau kila kitu nakujiona kama vile nyumbani kwa Jerry kuna kachumba kamoja, “..karibu Tina na jisikie uko nyumbani..” “..nashukuru, usijari, vipi huyo dada yako yuko wapi sasa mbona hata hatujamkuta..?” “…aaah yule mambo mengi, sema wewe humjui tu, atakuwa kasubiri kidogo kajiondokea zake, haya chumbani na sebuleni kwangu ndio hapahapa, sasa wacha mi nikupishe ubadilishe nguo ukaoge si uliniambia kuwa una…” Kabla hajamalizia kuongea nikamuwahi, “..nikwambie kitu John..?” “..nimeghairi wala hata siendi kuoga, kwanza nawaogopa majirani zako, embu ona walivyokaa huko nje.. Ah ah mi sitaki…” Nilimkatalia John maksudi huku akili yangu yote nikielekezea jinsi nitakavyomtega mpaka ategeke.. “…John, embu niambie kweli mchumba wako yuko wapi..?” “..wallah tena, bado hata sijaoa na wala sina kwa sasa..” “…ila kwa sasa ukipata unaoa..? Maana mie naskia nyie wapemba mnachaguliwa mke wakuoa, na unaoa mpemba mwenzako..?” “…mh kwa hilo sijaliwahi kulisikia hata..” “..ok, kwahiyo hata mie unaweza kunioa..” Nilimuhoji kimtego huku akionesha kama kupagawa, kwani muda wote tuliokuwa tunaongea, nilikua nikimrembulia huku nikipandisha gauni langu juu nakuachia mapaja yote wazi, “…John, unapenda mwanamke bikra..?” Japokuwa swali hilo wasichana wengi huwa wanaogopa kuwauliza wanaume, kwangu Tina mie ilikuwa tofauti kabisa, nilijivika moyo wa kijasiri ukichanganyia na u ‘play gal’ niliokuwa nao ndio usiseme kabisaa.. “..hiyo ipo wazi, kwani sisi wapemba mwanamke utakayemtoa bikra ndio huyo huyo utakayemuoa..” “…hivyo tu..?” “..yeah ndio hivyo..” “..nikwambie kitu John..” Nikaanza kumdekea nakumlegezea jicho kana kwamba labda ameshakuwa mume wangu wa ndoa.. “..niambie kitu gani tena..” “..mimi ni msichana bikra..” “..unasema kweli Tina..?” “..basi ni faraja kwa bro Jerry kwani atakuwa amepata mwamamke safi aliyetulia na mwenye kujali usichana wake..” “..simtaki huyo kaka yako, kwanza yeye ni rafiki yangu wakaribu kwakuwa tunafanya naye kazi pale ‘airport’..” “..unasema kweli Tina..? Dah kwa jinsi ulivyokuwa unamlilia nakuwa karibu naye mie nikadhania labda ni mtu wake..” Niliona kama ananichanganya kuendelea kupiga stori za kaka yake, nilichokifanya nilivua nguo zangu nakubaki “..haya John nipo tayari nitoe bikra sasa hivi mwenzako natamani unitoe wewe..” “..unasema kweli Tina..?” “..kweli, nimeitunza sana na wala sijawahi kutembea na mwanaume yeyote maishani mwangu..” Kabla hata sijamalizia kumwambia, nilishangaa John akifungua mlango nakutoka haraka haraka, “..Tina, nipe dakika 2 narudi sasa hivi..” Alitoka na nisijue hata anaenda wapi huku akiniacha pale chumbani kwake peke yangu, niliichukuwa simu yake nakuanza kuitafuta ile namba iliyopiga saa ile hadi akanidanganya ni dada yake.. “..mshenzi mkubwa, na atakiona leo,na nalala hapa hapa..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikijiongelea mwenyewe baada ya kuigundua kuwa ile ni namba ya rafiki yangu kabisaa Aisha sikukasirika sana kwani tayari nilikuwa nina uhakika wa ku sex.. Ndani ya muda mchache John alikuwa amesharudi huku mkononi kashika kondomu.. “..John, si nimeshakwambia mie bikra..? Sasa hizo  ni za nini..? Embu tupa kulee…” Nilizichukuwa  nakuzitupia chini,..”kisha nikamsogelea john karibu “…John mie naogopa sana mwenzio kusalitiwa katika mapenzi..” “..wallah, haitakuja kutokea Tina..” “..hivi unajua ni wanaume wangapi nimewakataa kisa hii bikra yangu…” Nilimkazia macho John huku nikitoa machozi bandia kana kwamba nina bikra kweli… John alinivamia kwa uchu na kutaka penzi kwa haraka lakini nilijifanya naogopa sana kwa hiyo nikamueleza asijali ni lazima yeye ndio ataitoa bikra yangu hivyo nikamwambia turudi hospitali tukamuangalie jerry na tukitoka huko tunarudi kuendelea mpaka asubuhi john alifurahi na kukubali baada ya kumwambia tutafanya hadi asubuhi… nikavaa nguo zangu haraka haraka na kupanda gari kwenda hospitali.. *

Umati wa wanawake bado ulizidi kumzunguka Jerry, kwa kipindi hiki aliweza kutoa macho na kuangaza huku na kule.. Nilikuwa namdekea John huku kila saa mikono yangu ikiwa mabegani kwake kwa makusudi ili kumkomesha Jerry.. Tulipomaliza kumuangalia Jerry tuliingia kupata chakula kisha tukaelekea kwake kinondoni… John alikuwa anashauku ya ajabu alikuwa akiendesha gari kwa kasi ya ajabu na hiyo yote nikuwahi kufika tu huko kwake na aweze kunitoa bikra.. “..angejua bikra yenyewe hata aliyenitoa nimeshamsahau..!” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikiendelea kumtolea jicho John aliyekuwa ‘bize’ kwa kuendesha gari.. “..Nimesahau kukwambia John, mwenzio kesho asubuhi sana ninakipindi..” “..hilo tu wala usijari kabisa, hapa tuna gari ya bro, ntakuwaisha asubuhi asubuhi, sema kingine mammii…” John aliongea kwa kujiamini. Haikuuchukuwa muda sana tukawa tumeshafika kwake, hakukuwa na sehemu yakulaza gari, hivyo aliliachia kwa mbali kidogo, halafu tukatembea mpaka kwake., njia nzima John alikuwa ni wakunishika mara mabegani, mara mikono sijakaa vizuri akanishika nywele zangu. Kwakuwa tulishakula hivyo tulipoingia tulijifungia ndani… “..John nakuomba ukanitayarishie maji nioge..” John hakuweza kukataa kwani ndani ya muda mfupi alikuwa tayari mtumwa wa mapenzi na kila nilichotaka alikuwa yupo tayari, haraka haraka akatoka nje kwenda kunitayarishia maji,aliporudi tu nikaanza kumletea pozi.. “…haya nibebe mpaka bafuni..” “..aaah acha hizo basi..!” “..John unasemaje..? Kama hutaki kunibeba sikupi bikra yangu..” John alikuwa mdogo ghafla akanisogelea nakunipa mgongo wake ili anibebe.. “..haya panda basi..” “..aha haa haa John hutaniwi mpenzi..? Nilikuwa nakutania mwenzio..” Nikachukuwa kopo la kuogea nakuongoza mpaka bafuni kuoga, nilijisafisha vizuri kila kona na nilipotoka John naye alienda kuoga nakuniacha chumbani kwake peke yangu.. “..yani leo simuachi mpaka nimuambukize tu kama alivyonifanyia kaka yake japokuwa bado sijapima..” Nilijisemea peke yangu huku nikichukuwa hela kwenye kipochi changu nakukimbia mpaka nje kwenye kiduka kununua ‘tomato sauce’ tena ile inayotumikaga kwenye chipsi.. Niliificha nakuingia mpaka ndani kwa John  muda wote huo alikuwa  bado hajatoka bafuni hivyo nikaifungua nakuiweka chini ya uvungu.. John alitoka bafuni na hapo hapo nikamuwahi taulo lake huku nikimfuta mwilini“..John nikwambie kitu..?” “..yap sema sweetie..” “..embu zima taa yako, mwenzako naona aibu ndo mara yangu ya kwanza leo..” John alinielewa nakukimbilia mpaka kwenye kitasa nakuzima taa.. tukiwa katikati ya tendo huku nikmuigizia john kuwa naogopa nikatumia mwanya huo huo kuvuta ile chupa ya ‘tomato sauce’ uvunguni kwa kutumia mkono mmoja kisha nikaimwagia kwenye kiganja changu nakuisambaza kwenye nanii yangu.. Nikamsikilizia ile John anataka t kufanya  hapo hapo nikamsukuma nakuanza kulia.. “..nilikwambia John, ona sasa ninavyoumia, umeshanitoa bikra, sina tena bikra na ole wako unisaliti au usinioe John..” John alienda kuwasha taa haraka haraka kisha akakunja sura yake huku ananikaripia.. “..mpumbavu mkubwa wee, ushanichafulia shuka unajua bei yake wew..?” “..John, mbona umenibadilikia hivyo ghafla.. Basi kesho nitakufulia hizo shuka zako..” “..mie ndio kidume cha mbegu, kama bikra nishaitoa, kukuoa sahau, unahadhi unahadhi ya kuwa na mimi wewe..” “..ndio mana nilikuwa sitaki unitoe bikra yangu, nyie wanaume nawajua sana..” “..embu toka toka, nenda hostel kwenu ukajifutie mijidamu damu yako hiyo, tokaaaa..” John alinifukuza kama mbwa vile, nikavaa nguo zangu nakuchukuwa kimkoba changu mpaka nje, “..John utanikumbuka siku moja..” “..akukumbuke nani wewe, niache kukumbukwa Pemba na wachumba zangu eti nikukumbuke wewe..” Nilijichekea moyoni huku nikijifanya nalia nakutoka mpaka nje huku nikimwacha John peke yake, nilipofika tu kituoni nikachukuwa simu yangu nakutuma meseji kwa John.. ‘…John mpenzi, angalia chini ya uvungu wa kitanda chako, Kama ulidhani umenitoa bikra hapa umechemsha, nakifupi tu, NIMESHAATHIRIKA… Nilipomaliza kuituma tu, nikaizima simu yangu nakuirudishia kwenye kipochi huku nikifurahia kitendo nilichomfanyia John, “..hapa na bado, nitahakikisha nimeumaliza ukoo wao wote…!” Nilijisemea peke yangu huku nikipanda daladala ya kuelekea posta kwa usiku ule.. Sikuumia moyoni kisa John ameniacha bali nilikuwa nafuraha ya kumuambukiza ukimwi.. “..mh huenda sina hata huo ukimwi, halafu najisifu sifu, embu ngoja kesho nikitoka kwenye kipindi asubuhi niingie hospitali..” Bado nilikuwa nikijiuliza nakujijibu mwenyewe huku daladala ikikatiza maeneo ya magomeni kuelekea posta.. Mwendo wa kama dakika 20 ulitosheleza kunifikisha pale chuoni ‘Cbe ndani kabisa ambapo ndipo hosteli zetu zilipo, Nilipofika tu kwenye ‘rumu’ yangu sikumkukuta Aisha hivyo niliamini tu atakuwa kaenda kujirusha viwanja hivyo breki ya kwanza nikabadilisha nguo zangu nakuvaa kanga kisha nikaingia bafuni nakujisafisha zile ‘tomato sauce’ bandia,Nilipomaliza nikarudi mpaka rumu nakuiwasha ile simu yangu. Meseji kama 5 ziliingia mfululizo na zote zilikuwa zimetokea kwa John, alikuwa akinitukana na kulaani kitendo nilichomfanyia nakunihakikishia ama zangu ama zake siku akinishika, nilizisoma zile meseji kisha nikafyonza kwa dharau nakuzifutilia mbali, “..akijifanya mjanja namfanya kama nilivyomfanya kaka yake ‘Jerry..’ eti anataka kuoa bikra..?, bikra aende huko kwao Pemba tena vijijini na umalaya wake ndio atapata mabikra..” Nilizungumza kimoyo moyo huku hasira kali iliyoambatana na dukuduku rohoni vikinishika nakutamani nimrudie usiku huu huu..

:: Zilipita kama wiki mbili sikuweza kuonana na john wala kufuatilia habari za jerry kule hospitali siku hiyo nilipanga niende hospital nikapime afya yangu ili nijihakikishie kama kweli niliathirika au laah basi siku hiyo nikatoka darasani mapema na kisha nikarudi hostel kweda kujiandaa … Nilivalia nguo ya ‘baibui’ huku nikijifunika mpaka eneo la paji la uso, kama muislamu vile sikutaka kusindikizwa na mtu yeyote zaidi ya kubeba kamkoba kangu nakuelekea hospitali ya mnazi mmoja tena kwa kujiamini… Niliingia mpaka ofisi ya dokta niliyokuwa nikimfahamu nilimweleza nia yangu yakuja kupima kisha akanichukuwa damu nakwenda kuipima. Haikupita muda akarudi, “..enh niambie dokta imekuwaje mzima..” “…unaweza kuniambia huyo mtu mara ya mwisho kukutana naye kimwili ni lini..?” “..dokta zimeshapita kama wiki mbili sasa..” “…matokeo yako haya hapa hauna tatizo lo…” “..kweli dokta..?” “..yeah ni kweli kabisa haujaathirika ila sasa we leo rudi nyumbani halafu njoo baada ya wiki mbili, kwani magonjwa kama ukimwi ni mpaka mwezi upite ndipo vijidudu vionekane..” Nilichukuwa yale majibu yangu japokuwa bado nilikuwa kishingo upande nakutokumuamini kabisa dokta japo huwa ananitibia mara nyingi niumwapo.. Nilienda tena hospitali nyingine lakini majibu yalinionesha nimeshaathirika, Njia nzima nilikuwa kama mtu aliyechanganyikiwa, akili, ukichanganya na hasira kali ilinituma niende mpaka hospitali ile aliyokuwa amelazwa Jerry pale ‘Ocean road’ napo nilipofika ile wodi sikumkuta na alikuwa amesharuhusiwa kama siku mbili zilizopita.. Kwakuwa nilivalia ‘baibui’ ilikuwa ni vigumu kuonekana hivyo nikapanda daladala mpaka msasani alipokuwa anaishi Jerry, nilibadilisha sauti nakuwa nyembamba sana hivyo mlinzi akaniruhusu nikapita pale getini mpaka sebuleni, nikamkuta Jerry yupo kwenye kibaiskeli spesho kwa wagonjwa huku akiwa na wanaume wanne na wanawake kama sita hivi lakini John hakuwepo, Sikuwa muongeaji wala kuonesha mapepe yeyote, niliwadanganya kuwa mie ni jirani yao japokuwa sijaamia muda mrefu maeneo haya huku nikijitahidi kuizuia hasira kila nikimwangalia Jerry na nikikumbuka nilivyopima ukimwi nakukutwa nao, “..haya yote umeyataka wewe Jerry..” Nilijisemea kimoyo moyo huku nikimkazia Jerry macho ya hasira.. “..nimeanza na Jerry na sasa hivi ni zamu ya mmojawapo kati ya hawa..” Niliongea mwenyewe huku nikiwatolea macho wale wanaume waliokuwa wanamuuguza Jerry.. Haraka haraka nikaaga nakutoka nje, ile namuaga mlinzi, akatoka ndani mzee mmoja wa makamu huku mkononi kamshika mwanae.. “..bado hujaondoka tu..” Yule mzee aliniambia kiutani huku akiwa na lafudhi ya ki pemba, “,mie mbona nimeshafika, nyumbani kwetu jirani tu hapo, sema naifikiria safari yakulekea kariakoo sasa hivi..” Nilimtega maksudi kumwambia hivyo kwani alikuwa na gari lake, “..ok, mie kwangu magomeni, twende nitakuacha magomeni uchukue daladala,” Niliingia siti ya pembeni yake na mtoto wake alikuwa siti ya nyuma kabisa, huku nikijidai na kujishembendua ovyo.. “..mtoto wako mzuri, anaitwa nani..?” nilianza uchokozi taratibu bila ya yeye kujijua “..anaitwa Latifah..” “..ohh anajina zuri, hivi we na Jerry mpoje..?” “..Jerry ni mdogo wangu anayenifuata akitoka Jerry anafuata John na ndio mtoto wa mwisho kwenye familia yetu.. “..kazi imekwisha, sasa hapa ndio simwachi ng’o, haijalishi ameoa au hajaoa au anamtoto sijui anajiheshimu.., hapa kwangu kaisha….”

 

:: We unafikili nini kitafuata baada ta tina kugundua kuwa yule mtu aliempa lift ni kaka yake na jerry je atafanikiwa kumtega kama alivyotegwa john na jerry na je ni kweli tina ni muathirika wa virusi vya ukimwi

usikose kufuatilia kisi hiki cha kusisimua mpaka mwisho kwani sio ya kuikosa kabisa